TASWIRA ZA VURUGU TEMEKE KUHUSU MADAI YA WAPENZI KUNASA

 
Wananchi wakiwa getini katika hospitali ya Temeke wakitaka kushuhudia wapenzi wanaodaiwa kunasa wakati wakifanya mapenzi.

 
Askari polisi wakidumisha ulinzi eneo la hospitali ya Temeke.…
 
Wananchi wakiwa getini katika hospitali ya Temeke wakitaka kushuhudia wapenzi wanaodaiwa kunasa wakati wakifanya mapenzi.
 
Askari polisi wakidumisha ulinzi eneo la hospitali ya Temeke.
 
Walinzi wa hospitali ya Temeke wakiwazuia wananchi kuingia hospitalini.
 
Polisi wakiwa nje ya hospitali ya Temeke kudumisha ulinzi.
 
Baadhi ya wananchi wakiwa wamezingira jengo la kuhifadhia maiti baada ya tetesi kuwa wapenzi hao walihifadhiwa katika moja ya ofisi iliyopo ndani ya jengo hilo.
VURUGU zilizuka jana katika hospitali ya Temeke baada ya uvumi kuenea jijini Dar kwamba kuna wapenzi walionasa wakati wakifanya tendo la ndoa na kupelekwa hospitalini hapo kwa ajili ya kunasuliwa. Hata hivyo taarifa hizo mpaka sasa hazina ukweli wowote baada ya wapenzi hao kutoonekana na taarifa mbalimbali kutoka katika vyombo vya usalama kueleza kuwa hamna kitu kama hicho.
(PICHA NA MAKONGORO OGING' / GPL)

Comments