
Bw Cameron ameuambia mkutano mkuu wa kila mwaka wa chama chake cha Conservative kuwa Uingereza inaweza kukabiliana na changamoto hiyo kwa kuimarisha elimu yake, kupunguza matumizi katika ustawi wa jamii na kuamusha ari miongoni mwa watu wake.
Ingawa ilikuwa inachukua muda mrefu kuliko ilivyotarajiwa kutibu uchumi wake urejee kwenye kukua tena, Cameron amesema nakisi ya taifa imepunguzwa kwa kiasi cha robo katika miaka miwili iliyopita.
Comments
Post a Comment