
Niyonzima amesema walicheza kwa nguvu lakini walichokosea ni kuruhusu bao hilo la mapema.
“Bao la Kiemba ndilo lilitufanya tunyong’onyee kwa kuwa lilikuwa la mapema sana, ikabidi tuanze kucheza kwa nguvu ili kulirejesha lakini kama tungeanza sisi, nafikiri isingetusumbua sana.
“Hata hivyo Simba ni timu bora zaidi, ndiyo maana mechi ilikuwa ngumu japokuwa hatukupenda kupata matokeo hayo,” alisema Niyonzima.
Comments
Post a Comment