JAMAA ALIEJIPAKA KINYESI KUWAKWEPA POLISI MAHAKAMANI KISUTU HUYU APA
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Askari wa Jeshi la Polisi
wakijihami na matambara pamoja na mifuko ya nailoni ili kumdhibiti
mtuhumiwa aliyejipaka kinyesi mwili mzima na kutaka kuwakimbia askari
kwenye mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo.
Mtuhumiwa huyo ambaye jina lake halikupatikana mara moja alidaiwa kuwa
ni mwizi wa simu lakini hakimu alimwachilia huru kutokana na kukosekana
ushahidi hata hivyo askari waliendelea kumshikilia tena jambo ambalo
lili muudhi na aliporudi mahabusu aliamua kujipaka kinyesi mwilini.
Comments
Post a Comment