Mwanahabari wetu ambaye alikuwa shuhuda wa tukio hilo lililotokea kwenye Viwanja vya Mashujaa mjini hapa, aliungana na umati uliofurika ukiongozwa na mashabiki wa Yanga katika kumsindikiza mzee Ndugulu katika nyumba yake ya milele.
Mke wa mzee huyo, Veronica Ndugulu alishindwa kujizuia kwa kuishiwa nguvu wakati wa kuuaga mwili wa mumewe nyumbani kwake maeneo ya Mafiga na kusababisha majozi maradufu kwa waombolezaji hadi mwisho wa maziko hayo.
Comments
Post a Comment