
Juhudi zao zilizogharimu fedha nyingi, kupinga kupelekwa Marekani, zilimalizika Ijumaa mjini London baada ya mahakama makuu kutupilia mbali rufaa iliyowasilishwa na Bwana Hamza.
Washukiwa hao watano walisafirishwa kwa ndege punde baadaye kuelekea Marekani.
Abu Hamza anakabili mashtaka kadha, pamoja na njama ya kuanzisha kituo cha mafunzo ya kijeshi katika jimbo la Oregon, Marekani.
Yeye na washukiwa wawili watafikishwa mahakama ya New York, na wawili wengine watafanyiwa kesi Connecticut.
Comments
Post a Comment