
Inaarifiwa kuwa mashua hiyo ilikwenda mrama kwa sababu ya dhoruba wakati ikisafiri kutoka mji mkuu, Conakry, kuelekea kisiwa cha Kassa, safari ya kilomita 10.
Shughuli za uokozi zimesimamishwa.
Ajali kama hizo zinatokea mara kwa mara nchini Guinea na kwengineko Afrika, ambako mashua hupakia abiria wengi na hazitazamwi sawa sawa.
Comments
Post a Comment