Gazeti la chama rasmi cha kikomunisti, The Peoples' Daily, limeonya kuwa Japan huenda ikaathirika kibiashara ikiwa itaendelea na kile kilichotajwa kuwa uchokozi wake kuhusiana na kisiwa hicho kilicho Mashariki mwa China.
Japan imeonya wananchi wake dhidi ya kufanya maandamano siku ya Jumanne , ambayo itakuwa siku ya maadhimisho ya utawala wa Japan Kaskazini Mashariki mwa China mnamo miaka ya thelathini.
Comments
Post a Comment