Inaarifiwa kuwa ndege ya abiria ilikuwa imewabeba watu miambili.
Taarifa hiyo inasema ndege ya abiria ilitua salama katika uwanja wa ndege wa Damascus.
Mapema, duru za upinzani zilidai kuwa waasi ndio waliidungua helikopta hiyo.
Serikali imekuwa ikitumia helikopta na ndege nyinginezo katika harakati zake dhidi ya waasi.
Comments
Post a Comment