
Borussia Dortmund walianza Ligi Wiki
iliyopita wakiwa nyumbani kwa kuifunga Werder Bremen lakini leo katika
Mechi yao ya kwanza ugenini walijikuta wako nyuma kwa bao 1-0, kwa bao
la Tomas Pekhart la Dakika ya 31 na Dakika 9 baadae Winga Jakub
Blaszczykowski alisawazisha kwa Mabingwa hao.
Magwiji Bayern Munich wao wataingia dimbani kesho wakiwa nyumbani kucheza na VfB Stuttgart.
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi Septemba 1
Bayer 04 Leverkusen 2 SC Freiburg 0
FC Nuremberg 1 BV Borussia Dortmund 1
Schalke 3 FC Augsburg 1
SV Werder Bremen 2 Hamburger SV 0
TSG Hoffenheim 0 Eintracht Frankfurt 4
Fortuna Dusseldorf v Borussia Mönchengladbach
Jumapili Septemba 2
VfL Wolfsburgv Hannover 96
Comments
Post a Comment