Skip to main content
DK SLAA AWAKARIBISHA WANACHAMA WAPYA WA CHADEMA KWA KUWAPA KADI
Katibu
Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa, akiwakabidhi kadi ya uwanachama
wa chama hicho kwa Lilian Wassira na ndugu yake Esther, baada
kujiunga na chama hicho. Lilian na Esther ni watoto wa George Wassira
Kaka wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano) Stephen Wassira.
Comments
Post a Comment