Hukumu dhidi yake inatarajiwa kutolewa muda mfupi ujao . Bwana Wang alijisalimisha kwa maafisa wa usalama mwezi Machi baada ya kutafuta hifadhi kwenye ubalozi mdogo wa Marekani mjini Chengdu.
Alitoa shutuma zilizosababisha kufutwa kazi kwa mkuu wake , Bo Xilai, ambaye amekuwa mmoja wa viongozi wa Uchina wanao nawiri kisiasa.
Mkewe bwana Bo , Gu Kailai, baadaye alipatikana na hatia ya kumuua mfanyabiashara wa Uingereza Neil Heywood
Comments
Post a Comment